The government slammed the BBC documentary dubbed ‘Blood Parliament’ saying it was biased and aimed at tainting its image.
Government Spokesperson Isaac Mwaura has argued that the documentary was inclined to disparage the government for unknown reasons, as it did not give his office or even President William Ruto a right of reply or considering its perspective.
Mwaura revealed that the government had now reached out to the British broadcaster to seek clarification on some of the claims in the documentary, which he intimated has resuscitated anger and emotions of the Gen Z protests.
“Shida ni kuwa, hawakuchukua mtazamo wa serikali. Ata ukiangalia katika ile video, Rais hakupewa nafasi ya kuzungumza vizuri. Kwa hivyo, inaegemea upande mmoja na inaonekana kuna nadhalia fulani ambayo ilikuwa inajaribu kusisitiziwa na chombo kile cha habari,” he said.
“Lakini ni vizuri wajue kuwa tunakosoa na tunatoa rambirambi kwa jamaa, ndugu na marafiki ambao waliweza kutuaga kama wakenya wenzetu na hio si jambo ambaalo tunaweza kulisifia.”
He faulted the BBC for claiming to have sources in the government, saying that he was not aware of any individual other than himself mandated to speak on behalf of the State.
Mwaura went on to claim that the government also suffered irreparable damage on key infrastructure including the burning of parliament with the broadcaster failing to highlight the perpetrators
“Hatua ambayo tumeichukua kama serikali, shirika la IPOA limeweza kuichunguza visa 90 vya watu ambao walisemekana wali adhirika na maandamano ya Gen Z lakini kuna kesi 22 zilizoweza kukamilishwa na wanaendelea na uchunguzi na upelelezi kwa wale ambao wameshukiwa,” he noted.